Monday, August 31, 2009

Yet Another Big Free Roanoke Times Democrat Ad

Roanoke Times, 9/1/09, Pg 15, free political ad:
Think local, vote for Democrats
Half-inch high title and nine by eight inch article with heartwarming accolades about Creigh Deeds including a most flattering picture and lots of negatives for those really bad GOP guys.
-
What does a political ad like this cost? And does this donation by the Roanoke Time to the Deeds for Governor Committee have to be claimed as a campaign contribution and if not, why not?
http://roanokeslant.blogspot.com/2009/07/political-ads-replace-news.html
-
We can hardly wait for the Editorial Staff of the RT to tell us that they’re not endorsing anyone for Governor because they want to be fair and balanced!
-
Prior Items:
-
http://roanokeslant.blogspot.com/2009/08/editors-of-roanoke-times-hostile-at.html
-
http://roanokeslant.blogspot.com/2009/07/roanoke-times-zero-creditability.html
-

UKIWA MZIMA MWAMBIE MUNGU AHSANTE !!!

AHMED KANDORO mtangazaji wa chanel ten na magic fm pia ni mkurugenzi wa shirika la tuwasaidie akizungumza na waandishi wa habari kuomba msaada wa wadau mbalimbali kuhusu watoto wawilia ambao ni walemavu na wanahitaji msaada wa hali na mali watoto hao ni steven peter Luanda mkazi wa kijiji cha Bunduki mkoani morogoro na salma omary mkazi wa kichangani pia wa mkoani morogoro

Huyu ni steven peter Luanda ambaye kwakweli hana miguu hapa kabebwa na bibi yake huyu anaomba msaada wa kusoma tuu kwakweli wapo watu kama mimi ambao wana miguu lakini hawajui kusema shukrani lakini bwana mdogo huyu akasema ahsante.


Huyu ni salama omary amabaye ana miaka ishirini na sita wanasema hajawahi kutoka nje tangu azaliwe ampaka alipofika miaka 24 kwakeli anakipaji cha kushona kama unavyoweza kuona pichani alianza kushona vitambaa kwa kutumia chelewa lakini sasa anashona kwa kutumia sindano digital .
Ukitaka kutoa msaada piga na namba hiii 0713884108




Sunday, August 30, 2009

HUNAGI/HUCO blog topics attracts visitors from all over the world

Recent visitor distribution map shows worldwide interest on topics addressed by the HUNAGI/HUCO blog

European Address Infrastructure National Workshop in Hungary

The poster compiled for the awareness raising of the wider range of the Hungarian stake-holders and user commu-nities can be downloaded from the website of the EURADIN National Workshop by clicking on the header.

MATOKEO YA LIGI KUU TANZANIA BARA 29 AGOSTI 2009/10


Yanga 3 - 0 Manyema Rangers
Jery Tegete dk 24, 83
Mike Barasa dk 45 (pt)
Maji Maji 0 - 1 JKT Ruvu
Hussein Bunu

fado toninho


'beijinhos na boca, arrepios no peito'





Saturday, August 29, 2009

DIABY MISTAKE GAVE UNITED A VICTORY AT OLD TRAFORD 2-1OVER ARSENAL

Arsene Wenger was sent from the dug-out in fury after Abou Diaby's own goal gifted Manchester United victory at Old Trafford and wrecked Arsenal's flawless start to the new season.
Arsenal were on course for a fifth successive victory in domestic and European combat when Andrey Arshavin's magical finish gave them the advantage over the Premier League champions just before the interval.
Sir Alex Ferguson's side had struggled to make any impact against Arsenal's resilient rearguard - but the shape of the game altered dramatically in the space of five minutes around the hour mark. Arsenal keeper Manuel Almunia needlessly fouled Wayne Rooney after 59 minutes to allow the England striker to equalise from the penalty spot.
And the transformation in the game and the atmosphere inside Old Trafford was complete when Diaby, in a moment from his nightmares, headed Ryan Giggs' free-kick into his own goal in front of an ecstatic Stretford End.
Arsenal were shattered as their previous good work was squandered and boss Wenger's misery was complete when he was sent from his technical area by referee Mike Dean for kicking away a plastic bottle in frustration when Robin van Persie's injury-time strike was ruled out for offside.
United keeper Ben Foster was culpable when he allowed Arshavin's 25-yard shot to fly in, but he was the hero when he prevented Arsenal taking what could have been an unassailable two-goal lead just after half-time as he blocked Van Persie from six yards when he seemed certain to score.
Van Persie also struck the bar before Diaby's calamitous own goal as a highly-anticipated encounter finally sparked into life after the break.
Ferguson surprisingly left Dimitar Berbatov and Michael Owen on the bench and opted for width in the shape of Nani and Antonio Valencia - a formation that failed to trouble Arsenal in a disjointed first 45 minutes for the champions.
Much rested on the shoulders of Rooney, and he almost fashioned an early breakthrough when he set up Darren Fletcher in the fourth minute, but the Scotland midfield man failed to find the target from 10 yards.
Arsenal were able to re-introduce Van Persie and Arshavin to their starting line-up after the midweek Champions League win against Celtic, and they posed the biggest threat to United in an opening period lacking in quality until the Russian's wonderful goal
.

Van Persie created a chance for himself inside the area, but was blocked by Patrice Evra before Arshavin capped an eventful few seconds by giving Arsenal a lead they just about deserved five minutes before the interval.
Arsenal had clear penalty claims rejected by referee Dean when Fletcher appeared to handle when he challenged Arshavin in the area - but as play progressed the little striker stunned Old Trafford by regaining possession and unleashing a rising angled drive from 25 yards that flew beyond Foster.
It was a moment of joy for Arsenal and Arshavin, but miserable for England keeper Foster, who should have done much better after getting his hand on the ball.
Foster went some way towards making amends for his mistake two minutes after the restart, making a vital block with his leg as Van Persie stole in on more wonderful work from Arshavin inside the area.

Arsenal goalkeeper Almunia was the central figure when United equalised after 59 minutes, making an ill-judged dash from his line and felling Rooney as he went away from goal. Rooney recovered to send Almunia the wrong way from the spot and United's hopes were revived.
Referee Dean took the unusual - but correct - step of booking both Rooney and Wes Brown in the same incident as they hacked at Diaby. And Van Persie almost inflicted more punishment on United with a swerving free-kick that rebounded back off the bar with Foster beaten.
If Arsenal were knocked back by conceding a penalty, Wenger was beside himself in his technical area after 64 minutes when his side gifted United a second goal.
Giggs could only direct his free-kick on to the head of Diaby who, with no other player in close attendance, inexplicably directed a header past Almunia into his own net.
The setback understandably knocked the stuffing out of Arsenal and Wenger made a change after 78 minutes, sending on Eduardo for Denilson. The striker received a hostile reception from the Old Trafford crowd in the wake of the controversy over his alleged dive in the Champions League against Celtic.
But their hopes of restoring equality suffered a blow shortly after when Arshavin limped off after appearing to sustain a muscle injury as he chased Van Persie's through ball.
As Arsenal pushed for the equaliser, they predictably left spaces at the back and United almost cashed in. Substitute Berbatov slashed a shocking finish wide and Nani was denied by Almunia.
But Arsenal's mood was summed up by the sight of a disbelieving Wenger being dispatched from the technical area after he thought Van Persie had equalised, only to see his joy cut short by a linesman's flag. And the sight of Arsenal's manager being escorted towards the tunnel only increased the joy around Old Trafford as Manchester United celebrated a crucial three points.


NAM MULTIMEDIA INAKUJA


Mkurugenzi wa Murtimedia studio akiwa anarekebisha mambo katika studio yake ambayo ipo nyumbani kwake Mwananyamala nyuma hospitali.


Mkurugenzi wa wa multimedia studio akiwa mtangazaji wa TBC international Erica Jason katika studio hizo .

Studio hiyo inataraji kuanza kazi hivi kalibuni vilevile itajishughuri Music katika video hivi kalibuni.

HAYA HAYA MAMBO YANAKARIBIA KUANZA LEO SAA MOJA NA ROBO USIKU



Haya sisi washika bunduki tutaonyesha bunduki zinvyoshikwa pale old traford unaweza kuangalia mechi hii kupitia TBC1 au tv nyingine Lakini TBC1 leo ni Live bila zengwe


Friday, August 28, 2009

Democrat Tort Reform NOT

Amazing straight-talk from Howard Dean prior Chairman of the DNC:
-
http://www.youtube.com/watch?v=mMdBcSdmE4c
-
Prior Items:
-
http://roanokeslant.blogspot.com/2009/08/perriello-defends-pelosi-read-obamacare.html
-

HUNAGI promotes IJDE which has been included into the Science Citation Index Expended and the Social Science Citation Index Expended

Prof. Dr. Wang Changlin informed the members of the ExCom of ISDE and the Editorial Board of the International Journal on Digital Earth today :
" ... IJDE (an official publication of ISDE) has been just accepted for inclusion into the Science Citation Index Expended and Social Science Citation Index Expended..."

HUNAGI promotes this excellent journal by encouraging its members and partners (even from the international community) to write papers to IJDE.
HUNAGI representative will attend the ISDE EC meeting at Beijing International Convention Center scheduled for 9th of Sept. Abstracts of high quality level, original contributing papers are welcomed to be considered to recommend to publish.

HIVI NDIVYO ALIVYOUMIA EDUARDO DA SILVA

Mpenzi msomaji hakika uliwahi kusikia taarifa ya kuumia kwa mshambuliaji wa arsena raia wa crotia mzaliwa brazil ambayea liumia baada ya kufanyiwa na mchezaji wa birgmingham Taylor
Angalia mguu wa kushoto kwenye picha hiyohapo juuu waweza kuhisi maumivu aliyoyapata mchezaji mchezaji huyo anataka kushitakiwa kisa wanasema kajiangusha nadhani wamesahau penalty ya Ryan babel alivyo fanya dhidi ya arsenal kwenye klabu bingwa barani ulaya

KUKOSA AJIRA KUNA MADHARA JAMANI SASA HUYU KAAMUA KULALA

Ongezeko la upungufu wa ajira nchini japan umeongezeka kwa` 5.7% hii ni kutokana bei ya watumiaji bidhaa kushuka tofauti na takwimu zilizo tolewa hii karibu makampuni yameendelea kupungza watau ingawaje uchumi umerejea katika hali yake ya kawaida baada ya kupata mtikiso hivi karibun i ikiwa ni zadi ya miongo kadhaa.
. chumi wa japani umekuwa agenda kuu katika kampeni mbalimbali nchini humo kula za maoni zinasema chama cha kidemokrasia cha liberal kinatajiwa kushindwa uchaguzi mkuu ambapo kimeongoza nchi kwa takriban mika 5 3 katika miaka Hmsini na nne iliyopita
Jumla ya watu , 3,590,000 wamekosa kazi nchini japan , ni mamilioni ya watu ukilinganisha na miaka ya nyuma
Uchumi wa japani umekuwa kwa 0.9% katika miezi ya April na June, lakini takwimu zilizo tolewa hivi karibuni zinatia mashaka


Thursday, August 27, 2009

On-line access to the preliminary program of the 6th ISDE

International Convention Center, the venue of the 6th Digital Earth Symposium. Image: HUNAGI Visuals resource, 2008
From our daily mail. Prof. Wang Changlin wrote this morning:

"The final program of the 6th International Symposium on Digital Earth (Preliminary Agenda) is available online at www.ISDE6.org."





Access to the Beijing Declaration on the Digital Earth: http://www.ISDE6.org/bdde.html

In the session devoted to SDI, Prof. Max Craglia and Alessandro Annoni, two of the prominent authors of the
Discussion paper of the Vespucci Initiative will deliver a lecture entitled From Today's SDIto the Next Generation Digital Earth(s). The original study, published in the IJSDR is downloadable here:
http://ijsdir.jrc.ec.europa.eu/index.php/ijsdir/article/viewFile/119/99

Next-Generation Digital Earth

A position paper from the Vespucci Initiative for the Advancement of

Geographic Information Science (Max Craglia1, Michael F. Goodchild2, Alessandro Annoni1, Gilberto Camara3,

Michael Gould4, Werner Kuhn5, David Mark6, Ian Masser7, David Maguire8, Steve Liang9, Ed Parsons10)

1 European Commission Joint Research Centre

[massimo.craglia@jrc.it; alessandro.annoni@jrc.it]

2 University of California at Santa Barbara [good@geog.ucsb.edu]

3 National Institute for Space Research, Brasil [gilberto.camara@inpe.br]

4 University Jaume I, Castellon [gould@uji.es]

5 University of MĂŒnster [kuhn@uni-muenster.de]

6 State University of New York at Buffalo [dmark@buffalo.edu]

7 University College London [masser@onetel.com]

8 ESRI, Redlands [dmaguire@esri.com]

9 University of Calgary [steve.liang@ucalgary.ca]

10 Google [eparsons@google.com]


In the same session HUNAGI-eSDI-NET+ representatives Joachim Rix and SG of HUNAGI will present the SDIs evaluation methodology elaborated by the eSDI-NET+ project entitled International Networking and Exchange of Best Practices in SDIs

CHAMPIONS LEAGUE DRAW ARANGED IN SENSATIONAL STYLE

UEFA Champions League holders FC Barcelona will begin their trophy defence in Group F with games against FC Internazionale Milano, FC Dynamo Kyiv and FC Rubin Kazan while some long away trips are looming for Manchester United FC.
Madrid targetThe 32 teams were split into eight sections of four with last season's runners-up United drawn in Group B alongside PFC CSKA Moskva, BeƟiktaƟ JK and VfL Wolfsburg, one of eight newcomers to this stage along with Rubin, AZ Alkmaar, R. Standard de LiĂšge, AFC Unirea Urziceni, Debreceni VSC, FC ZĂŒrich and APOEL FC. Real Madrid CF, who are hoping to reach the final at their home stadium, were second out of the hat in Group C, and will take on AC Milan, Olympique de Marseille and ZĂŒrich
.

Fixture scheduleThe group-stage fixtures will be played on 15/16 September, 29/30 September, 20/21 October, 3/4 November, 24/25 November and 8/9 December – The group winners and runners-up will progress to the first knockout round in the spring, with the final to be staged at the Santiago BernabĂ©u in Madrid on Saturday 22 May 2010. Teams finishing third in each section will transfer to the UEFA Europa League Round of 32.


Group A
FC Bayern MĂŒnchen (GER)
Juventus (ITA)
FC Girondins de Bordeaux (FRA)
Maccabi Haifa FC (ISR)

Group B
Manchester United FC (ENG)
PFC CSKA Moskva (RUS)
BeƟiktaƟ JK (TUR)
VfL Wolfsburg (GER)




Group C
AC Milan (ITA)
Real Madrid CF (ESP)
Olympique de Marseille (FRA)
FC ZĂŒrich (SUI)

Group D
Chelsea FC (ENG)
FC Porto (POR)
Club Atlético de Madrid (ESP)
APOEL FC (CYP)

Group E
Liverpool FC (ENG)
Olympique Lyonnais (FRA)
ACF Fiorentina (ITA)
Debreceni VSC (HUN)
Group F
FC Barcelona (ESP)
FC Internazionale Milano (ITA)
FC Dynamo Kyiv (UKR)
FC Rubin Kazan (RUS)


Group G
Sevilla FC (ESP)
Rangers FC (SCO)
VfB Stuttgart (GER)
AFC Unirea Urziceni (ROU)








Group H
Arsenal FC (ENG)
AZ Alkmaar (NED)
Olympiacos FC (GRE)
R. Standard de LiĂšge (BEL)

SERIKALI YAKANUSHA KUUZWA KWA TBC


Serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia kwa waziri wa Habari utamaduni na Michezo Kapteni mstaafu George H Mkuchika (MB)
amekanusha vikali taarifa zilizo tolewa na Gazeti la Mwanahalisi la tarehe 26 agosti, 2009 katika toleo la 151 kuwa serikali imetuhumiwa kuuza kinyemera shirika la utangazaji tanzania tuhuma hizo zimetokana baada ya shirika hilo kuunda kampuni iitwayo star media Tanzania limited kwa ubia na mwekezaji aliyeteuliwa kihalali ilikutekeleza kuiwezesha TBC kutangaza matangazo kwa mfumo wa Digital television multiplex services. kwa maana hiyo siyo sahihi kusema Tbc imeuzwa kutokana na ubia huo TBC sasa itachangia asilimia 35 kutokana na rasilimali zake na sio fedha na mwekezaji kutoka china M/S atachangia asilimia 65
serikali inazidi kusisitiza kwamba vyombo vya habarikuzingatia weledi wa taaluma ya habari na kuandika habari zenye ukweli bila kupotosha umma


HUNAGI in nutshell - The newest flyer on HUNAGI incl. UNSDI HUCO


The most important information on the mission goals, objectives, activities and members of the Hungarian Association for Geo-information. For members listings please click on the header.
Flyer side A http://www.fomi.hu/hunagi/pdf/2004/Flyer9aug25a.pdf
Flyer side B http://www.fomi.hu/hunagi/pdf/2004/Flyer9aug25b.pdf
The flyer was compiled recently for the visit of the Deputy-Director of EU SATCEN Mr. Tomas Lovrancic arranged by the Ministry of Foreign Affairs of the Republic of Hungary.

Wednesday, August 26, 2009

ARSENAL YAMALIZA KAZI YASUBIRI VIBONDE WATAKAOPANGWA NAO KWENYE MAKUNDI 3-1 TOTAL 5-1

Arsenal eased past Celtic to reach the Champions League group stage.
Eduardo's 25th-minute penalty, a contentious award after he clashed with Celtic keeper Artur Boruc, extended the Gunners' two-goal first leg lead.
Emmanuel Eboue finished a sweeping move for Arsenal's second after 53 minutes and Andrey Arshavin added another two minutes after coming on as substitute.
Massimo Donati's spectacular angled volley pulled one back for Celtic, but they now go into the Europa League.
Celtic's players accused Eduardo of diving to win the crucial penalty, but the Gunners were ultimately superior to the Scottish Premier League giants and merited the victory.
Arsenal were not at their flowing best, but demonstrated enough touches of their trademark invention to build on an impressive start to the season.

Obama Mourns Teddy

Obama, vacationing at Martha's Vineyard off the Massachusetts coast, said Wednesday that the nation lost a "singular figure in American history" with the death of Sen. Ted Kennedy, but that his "extraordinary" accomplishments will live on.
http://www.foxnews.com/politics/elections/2009/08/26/obama-reacts-death-sen-ted-kennedy/
-
One of their (Obama, Kennedy, Pelosi-Reid) extraordinary accomplishments is highlighted on page 1 of the 8/26/09 Roanoke Times: The deficit is now targeted to be larger than the SUM OF ALL PREVIOUS DEFICITS SINCE 1776. This is the imposition of tax-slavery for our children and grandchildren.
What an accomplishment! This truly qualifies as “socialist mission accomplished”.
-
Some might say that the legacy of Kennedy is: lying and cheating his way through Harvard, felony manslaughter at Chappaquiddick, binge drinking and womanizing his entire life, and pursuing an insatiable desire to convert America into a socialist state.
-
Since the Obama’s are already at Martha’s Vineyard, it would be fitting and proper for this solemn occasion to drive over to Chappaquiddick and place a wreath on the bridge in memory of Mary Jo Kopechne who paid an awful price to be a “Kennedy boiler room girl”.
-
When the final words are written about Teddy it may be that you can’t get someone into heaven by writing a good obituary or by delivering a moving eulogy.
-
A realistic view of current events can easily be summed up by:
Taxes and debt are like anchors nailing our people and our ship of state to the bottom where socialism and stagnation hold us securely to mediocrity.
-

He will never be fat



He is Perry was 59 years old, this man can eat any food that interest is not limited in the amount of food, including high-fat foods such as fast food, and he does not worry about obesity. Men suffering from this aberration called Lipodystrophy, conditions that make the body burn fat quickly.Perry is the first child who is obese, but the age of 12 years when suddenly his body weight came down just in time free for the night. Despite trying to eat as much but does not cause any effect whatsoever. In the end when the review found aberration, the body produces hormones that Perry insulin 6x more than most people. Truly a diimpikan by the pengingin slim body.

smallest man in the world

He Ping Ping, the man cut in scandalize the world of Tokyo, Japan while attending the launch edition in 2009 Guinness Book of World Records on Friday (13 / 2) at the Museum The Guinness World Records.Quote Daily Mail, Sunday (15 / 2), Ping Ping, who was born with high body only 74.1 cm and weight of 7 kg, with her humorous entry into the shoes Bao Xishun, the man in the world.Both men previously have this official stated off as a man and the highest in the world by the Guinness.Ping Ping is now living in In Mongolia, China and the City of Tokyo is one of the places he visited in a tour of world order than the London and New York.Chance, Ping Ping to stay close to the Bao Xishun who holds the world record with the highest male to reach 2.36 meters high degree despite falling in the non-authorized Leonid Stadnyk Ukrainian origin with a high body 2.57 meters.When asked about her body, Ping Ping said, "I did not envy the people higher than me. You need to know, if you're high it was difficult to move and not comfortable. ""I easily sneak wherever and therefore much easier to be a short man," he added

WIZARA YA AFYA YAZINDUA ELIMU YA VIPEPERUSHI YA SARATANI YA KIBOFU CHA MKOJO

Pasalace Kibatala Akizindua vipeperushi vitakavyotoa Elimu ya saratani ya kibofu cha mkojo ambapo vinazungumzia jinsi ugonjwa huo unavyopatikana matibabu yake na jisnsi ya kutambua ugonjwa huo pembeni yake ni moja kati ya watu waliowahi kuugua ugonjwa huo Emanuel job kandusi.
Picha hii inaonyesha jinsi ugojwa huo unavyoweza kuharibu mfumo mzima wa kibofu cha mkojo

Dr pasalace L kibatala akiwa ameshikilia Vipeperushi vinavyotoa Elimu kuhusu Ugonjwa wa saratani ya kibofu cha mkojo Wengine ni Emanuel Job katikati na wa mwisho ni Dr jerome Mkiramwe

vipeperushi hivyo vitasambazwa nchi nzima hili kila mwananchi aweze kusoma na kupata Elimu kuhusu ugonjwa wa saratani ya kibofu mkojo unakuwaje



Tuesday, August 25, 2009

Hungarian value-added e-content service supports awareness raising in space research

Live broadcast of the launch of the STS-128 provided by Galileo Webcast
(http://www.galileowebcast.hu)
The announced date and time (local time in Budapest) of the lift-off is 5:59 am on 29
August 2009. In Galileo Webcast's virtual studio experts GĂĄbor Zsombok
and GĂĄbor PĂĄl Vizi will follow the event and explain the details between
4:30 am and 6:30 am on 29 August.
Source: http://www.galileowebcast.hu/kozvetites.html. For link and more
up-to-date information please click on the header.
A NASA forrĂĄshely: http://www.nasa.gov

HONGERA COSOTA LAKINI BADO MNAKAZI YA KUWAPA ELIMU WASANII

MGAO WA SABA (7) WA MIRABAHA KWA WASANII WA FANI YA MUZIKI NA FILAMU
KAMPENI DHIDI YA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA KANDA NA CD BANDIA (FEKI)
MGAO WA MIRABAHA
Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kinafurahi kuwatangazia wanachama wake na wasanii wa fani ya muziki na filamu kwa ujumla, kwamba mgao wa saba wa mirabaha umekamilika.
Wajibu wa kulipa mirabaha
Mirabaha ni pesa inayokusanywa kutoka kwa aina zote za biashara ambazo zinatumia kazi za muziki na filamu ili kuburudisha wateja kwa njia ya redio au luninga na kutoka kwa mashirika ya utangazaji.
Zoezi hili ni utekelezaji wa Kanuni za Utoaji Leseni kwa maonyesho ya Umma na Utangazaji za Mwaka 2003, Tangazo la Serikali Na. 328 la Tarehe 10/10/2003. Kanuni hizi zimetengenezwa chini ya kifungu cha 45 ikiwa ni utekelezaji wa Kifungu cha 48 cha Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki 1999, (Sheria Na. 7 ya mwaka 1999).
YUSTUS A.B MKINGA AFISA MTENDAJI COSOTA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI HABARI KUHUSU WIZI WA KAZI ZA WASANII
Kwa mujibu wa Kanuni hizi wamiliki wa biashara zifuatazo wanawajibika kulipa mirabaha. Biashara hizo ni pamoja na hoteli, baa, migahawa, maduka, kumbi za kukodisha, kumbi za disko, vituo vya utangazaji, wasambazaji wa matangazo kwa njia ya Kebo n.k.
Hali ya ukusanyaji wa mirabaha toka zoezi lianze
Kuanzia mwezi Mei 2006 hadi Disemba, 2008, COSOTA imekusanya jumla ya Sh. 306,327,040.33, ambapo migao sita imetolewa na kunufaisha jumla ya wanachama 956.

Mirabaha iliyokusanywa kuanzia Januari 2009
Katika kipindi cha Januari 2009 hadi Juni 30, 2009 kiasi cha Sh. 80,756,353.00/= kimekusanywa kama ifuatavyo:-
a) Makusanyo kupitia mawakala Sh. 24,256,353.00/=
b) Kamati ya vibali vya wasanii 600,000/=
c) Mabenki – 4,000,000/=
d) Redio Maria – 500,000/=
e) Juke Boxes (International Vending) 51,000,000/=
f) Juke Boxes (Kenice) 400,000/=
Jumla Sh. 80,756,000.00/=

Katika mgao huu wa saba zimegawanywa Sh. 80,256,353.00 jumla ya Sh. 500,000/= zilizokusanywa kutoka Redio Maria zinasubiri taarifa ya kazi zilizotumika na malipo kutoka vituo vingine vya utangazaji ili zigawanywe kwa pamoja.
Baada ya kutoa gharama ya ukusanyaji asilimia ya COSOTA na mfuko wa shughuli za kijamii za wanachama Sh. 50,548,163.66 zinagawanywa kwa wasanii kama ifuatavyo:-
a) Mgawanyo kwa wasanii wa fani ya muziki kutokana na maonyesho ya Umma Sh. 23,966,866.56.
b) Mgawanyo kwa wasanii wa fani ya maigizo kutokana na maonyesho ya umma Sh. 3,956,665.80.
c) Mgawanyo utokanao na Juke Boxes Sh. 22,624,631.30.
Jumla ya wasanii walionufaika na mgao huu kutokana na maonyesho ya umma ni 1088.
Jumla ya wasanii wa ndani na nje walionufaika na mgao utokanao na Juke Boxes 366.

1. Maendeleo ya ufuatiliaji wa mirabaha kutoka vituo vya utangazaji
Hadi sasa ni kituo kimoja tu ambacho kimelipa mirabaha. COSOTA imeshafanya majadiliano ya ana kwa ana na vituo vya utangazaji katika miji ya Dar es salaam, Iringa na Moshi. Wakati huo huo, vituo vyote nchini vimepelekewa fomu za madodoso ambazo zitaisaidia COSOTA kuweza kukokotoa viwango vya mirabaha inayopaswa kulipwa na vituo husika. Vituo vichache vimerejesha fomu hizo wakati vituo vingi bado havijarejesha. COSOTA inachukua nafasi hii kuwaarifu wamiliki wa vituo ambavyo havijarejesha fomu hizo kufanya hivyo ili wasanii waweze kunufaika kutokana na kazi zao kutumika na vituo hivyo.




1. Wito kwa watumishi wa serikali wanaokwamisha zoezi la ukusanyaji wa mirabaha katika maeneo yao
COSOTA inasikitishwa sana na kitendo cha baadhi ya watumishi na halmashauri na manispaa kukwamisha shughuli za ukusanyaji wa mirabaha na ulinzi wa Hakimiliki kwa ujumla katika maeneo yao. Wengine wamefikia hatua ya kuwaandikia barua wafanyabiashara wa maeneo yao, kwamba shughuli za COSOTA ni batili.

Wakati taratibu zinaendelea kutafuta ufumbuzi wa hali hiyo, tunachukua nafasi hii, kuwaarifu watumishi wa aina hiyo, Wafanyabiashara na Umma na Watanzania, kwamba shughuli za ukusanyaji wa mirabaha ni halali na zinafanyika kwa mujibu wa Sheria za nchi.



. KAMPENI DHIDI YA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA CD NA KANDA
BANDIA (FEKI)
1. Utangulizi
Mnamo tarehe 20/08/2009 COSOTA kwa kushirikiana na jeshi la polisi, wasanii na wadau wengine wa tasnia ya muziki na filamu, iliendesha operesheni ya kukagua maduka yanayouza kanda, CD na tumekamata kanda na CD bandia (Feki) mjini Dar es salaam. Oparehseni hiyo ilifanywa katika maeneo ya Kariakoo, Buguruni na Tabata.

2. Idadi ya kazi zilizokamatwa
a) Famous Video – Kipata / Nyamwezi
Katika duka hilo linalomilikiwa na mtuhumiwa Ayaj Amash Chavda ambapo mtuhumiwa amekuwa akitafsiri kazi za filamu Kihindi, idadi ya kazi zilizopatikana ni kama ifuatavyo:
(i) VHS (Video Cassettes) 4,076
(ii) DVD 932
(iii) VCD 185
(iv) VHS (Empty) 870
(v) VHS (mbovu) 33
Jumla – 6,096



Kutokana na maelezo ya mtuhumiwa, amekuwa akinunua Empty VHS kutoka Supershine – Zanzibar na VHS, DVD na VCD kutoka kwa Lufufu Kandala wa Vingunguti na Justine Limonga.

a) Adam Brothers / Abass Adam Salehe – Kariakoo CD 97
b) Kamugisha Shop CD – 14
c) Ana Maria DVD – 58
d) Moses Msigwa
(i) DVD – 12
(ii) VCD – 57
e) Kihiyo Athuman CD – 26
f) James Mbelwa CD – 6
g) Loveness Masonda – Tabata Kisukuru
Mtuhumiwa huyu alikamatwa kwa kosa la kuzalisha na kuuza DVD na VCD bandia za wasanii wa ndani na wan je. Kwa maelezo yake mwenyewe kazi hiyo anaifanya kwa kushirikiana na mumewe anayeitwa Johnson Michael na mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Msukuma.

Kazi na vifaa alivyokamatwa navyo ni kama ifuatavyo:
(i) Dukani kwake VCD na DVD 195 (kati ya hizo DVD 10 ni filamu za ngono).
(ii) Nyumbani kwake
- DVD, VCD na CD 31,500
- CD tupu (Empty) – 185
Pamoja na CD, mtuhumiwa huyu ambaye alikuwa anazalisha CD nyumbani kwake alikamatwa na vifaa vinavyotumika kutengenezea CD bandia na oda za kuuza Cd bandia kwa wateja wake zenye Jumla ya Cd 3,000 zenye thamani ya Sh. 15,000,000/=.

Hivyo basi Jumla ya CD na Kanda zilizopatikana katika operesheni hiyo ni kama ifuatavyo:
a) CD zilizorekodiwa – 33,219
b) CD Tupu (Empties) – 185
Jumla Cd – 33,404 zenye thamani ya Sh. 167,020,000/=
c) VHS – 4,076
d) VHS Tupu – 903
Jumla ya VHS = 4,979 zenye jumla ya thamani ya Sh. 9,958,000/= Jumla ya CD na VHS = 38,299





Vifaa vya kutengeneza CD bandia vilivyopatikana kwa mtuhumiwa Loveness Masonda ni kama ifuatavyo:-
a) Printa za rangi – 14
b) Kompyuta – 2 zenye jumla ya virekodio (CD Rom Drive) 16, nane kwa kila kompyuta.
c) Wino chupa 11
d) Vidao vya wino (cartridge) 55
e) Karatasi maalumu za kutolea nakala za picha (Inlays) – 700
f) Rim 1 ya karatasi
g) Vifungashio vya CD Paketi – 1
h) Mabomba ya sindano za kujazia wino – 4
Jumla ya thamani ya vifaa hivi inakadiriwa kuwa Sh. 14,222,000/=
Hivyo basi jumla ya thamani ya vitu vyote vilivyokamatwa siku hiyo vinakadiriwa kuwa ni Sh. 191,200,000/=




1. Operesheni ya kazi bandia katika kipindi cha kuanzia Januari 2009 hadi Agosti 19, 2009.
Katika kilichotajwa
(a) COSOTA imefanya zoezi kama hilo kwa msaada wa Jeshi la Polisi na kwa kushirikiana na wadau katika maeneo yafuatayo:-
(i) Dar es salaam
Ubungo, Mbezi beach, Mbagala na Bugurumi ambapo zilipatikana CD bandia 1,302.
(ii) Songea – CD 55 ziliharibiwa mbele ya vyombo vya habari baada ya mtuhumiwa kukimbia.
(iii) Kilimanjaro tarehe 27 – 29
Zilipatikana kazi bandia zifuatazo:-
- CD 575
- Kanda 41
- Vitabu 297 vya somo la Kimia (Secondary School Chemistry Book 1)
Vyote vipo mikononi mwa jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro.


(i) Arusha – 29 Aprili – 5 Mei, 2009.
- CD Bandia 1,450
- Kanda 104
Jumla 1,534

(a)Makampuni binafsi
Makampuni binafsi ya uzalishaji na usambazaji yalifanikiwa kukamata kazi zao bandia kama ifuatavyo:-
(i) STEPS
- Morogoro – CD 420
- Buguruni DSM – CD 800
- Ilala CD 400
Jumla – 1,620

(ii) Game 1st Quality Ltd
- Yombo Dovya – CD 400
- Buguruni – CD 20
- Tazara – CD 800
Jumla 1,220

(iii) MBC Hotmedia CD – 99

(iv) Msama Promotions
Dodoma, Mwanza, Morogoro, Shinyanga, Tabora na Singida Cd 1,300.

Jumla ya kazi bandia zilizokamatwa na COSOTA na wadau wengine katika kipindi hicho ni kama ifuatavyo:-

(a) CD – 9,401 zinazokadiliwa kuwa na thamani ya Sh. 37,505,000/=, Kanda 186, Sh. 279,000/= na vitabu 297, Sh 2,079,000/= vyote vinakadiliwa kuwa na thamani ya Sh. 39,863,000/=
Kwa maana hiyo kazi bandia zilizokamatwa kuanzia Januari 2009 hadi tarehe 24/08/2009 zinakadiliwa kuwa na thamani ya jumla ya Sh 231,063,000/=

1. Ukiukaji wa Hakimiliki
Kifungu cha 9(1) cha Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki, 1999 (Sheria Na. 7 ya mwaka 1999) kinasomeka kwamba “Mtunzi atakuwa na haki ya kipekee ya kutekeleza au kuidhinisha mambo yafuatayo kuhusiana na kazi
(a) utoaji nakala;
(b) usambazaji;
(c) ukodishaji;
(d) uonyeshaji kazi kwa umma;
(e) tafsiri ya kazi;
(f) toleo la kazi;
(g) utangazaji wa kazi;
(h) mawasiliano ya kazi, na
(i) uingizaji wa nakala kutoka nchi za nje

Kitendo chochote kinyume na kifungu hicho ni ukiukaji wa hakimiliki ambapo chini ya kifungu cha 42(a), adhabu ya mtu atakayepatikana na hatia yaweza kuwa kulipa faini isiyozidi Sh. milioni tano au adhabu ya kifungo kisichozidi miaka mitatu au vyote kwa pamoja.

Kwa mujibu wa Kanuni za Uzalishaji na Usambazaji wa Kazi za Filamu na Muziki za Mwaka 2006, Tangazo la Serikali Na. 18 la tarehe 10/02/2006, COSOTa imepewa uwezo wa kuharibu kazi hizo mbele ya Umma baada ya siku 60 ikiwa aliyekamatwa nazo atashindwa kuthibitisha uhalali wa yeye kuwa na nakala za kazi alizokamatwa nazo.

Waliokamatwa katika Operesheni hizi ni wale ambao wamekuwa wakitoa nakala (kuzalisha), kusambaza(kuuza) na kutafsiri kazi pasipo kibali cha watunzi. Haijalishi kama mtuhumiwa anakiuka hakimiliki za wasanii wa ndani au wa nje. Wizi ni wizi tu, haijalishi kama unamuibia mtanzania au raia wa nje!

Chini ya kifungu cha 3(6)(a) na makubaliano ya kulindiana kazi na vyombo vya nje vyenye majukumu kama ya COSOTA, COSOTA imepewa uwezo wa kukamata kazi bandia zote, ziwe za ndani au za nje.

Nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wauzaji wa CD na Kanda zenye kazi za nje, kuhakikisha kwamba wanapewa risiti na hao wanaowauzia. Kwa ujumla CD nyingi kutoka China ni bandia wala wauzaji wasidanganyike na CD zinazokuwa na filamu zaidi ya moja kwa kuwa hakuna mzalishaji halali mwenye akili timamu anayeweza kuweka filamu zaidi ya mbili katika CD moja.

Wakaguzi wa COSOTA wataendelea kukagua maduka yote yanayouza CD zenye kazi za watunzi wa nje kama wafanyavyo kwa kazi za ndani.

2. Motisha kwa Wasiri
Raia wema na wote wanaotembeza kanda mitaani (maarufu kama wamachinga), wanaarifiwa kwamba zawadi isiyopungua Sh. 200,000/= itatolewa kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazoisaidia COSOTA kukamata vifaa vinavyotumika kutengenezea CD bandia. Taarifa hiyo hiyo itolewe kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA pekee. COSOTA inahifadhi siri za wasiri.

3. Wito kwa Wasanii na Wanachama wa COSOTA
COSOTA inasikitishwa na ushirikiano mdogo inaopata kutoka kwa wasanii. Ni wasanii wachache sana ambao wamekuwa wakiisaidia COSOTA kwa nyakati mbalimbali. Wasanii walio wengi hawaji wanapoitwa na baadhi yao hudai malipo makubwa ambayo COSOTA haina uwezo wa kutoa.
Ikumbukwe kwamba jukumu la kwanza la kulinda hakimiliki ni la mwenye mali, yaani msanii mwenyewe kwa mujibu wa kifungu cha 36 cha Sheria ya hakimiliki. COSOTA ina nafasi ya pili. Badala ya kushirikiana na COSOTA, kuitika wito na kufanya kazi na COSOTA, wasanii wengi wamebakia kulaumu na kulalamika tu.
Wakati huo huo naomba kuwapongeza baadhi ya wamiliki wa Makampuni ya uzalishaji na usambazaji ambao wamekuwa mstari wa mbele katika kupiga vita uharamia.
4. Wajibu wa Wazalishaji, wasambazaji na wachapishaji kujisajili COSOTA.
Chini ya kifungu cha 47(b), COSOTA imepewa uwezo wa kutunza rejista za watayarishaji wa vihifadhia sauti zilizorekodiwa na vielelezo vya kusikia na kuona (kanda na CD), wachapishaji na wasambazaji wa kazi za muziki, filamu na maandishi.
Lengo la kifungu hiki ni kuiwezesha COSOTA kudhibiti utengenezaji na usambazaji wa kazi bandia, lakini pia kutambua alama za siri za usalama ambazo wahusika wanatumia ili kutambulisha kazi zao halali.
Pamoja na kuwatangazia kufanya hivyo, wengi wao wamekuwa wagumu kutekeleza maagizo hayo. Hali hiyo inaweza kusababisha COSOTA kukamata kazi halali kwa kudhania ni bandia.
Usajili huo ni muhimu zaidi kwa sasa ambapo COSOTA ipo katika hatua za mwisho za kuanzisha matumizi ya stika ya kitaifa, kama alama ya usalama ya kutofautisha kazi halali na zile ambazo ni bandia.

Kwa niaba ya COSOTA napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa Inspekta Jenerali wa Polisi kwa kuteua maafisa wa kushughulikia masuala ya hakimiliki ndani ya jeshi la polisi katika kila mkoa Tanzania bara na kwa Makamanda wa Polisi wa kanda maalumu ya Dar es salaam, Kilimanjaro, Arusha, Morogoro na wengine wote kwa kushirikiana na COSOTA katika kampeni dhidi ya kazi bandia. Maafisa hao wamekuwa msaada mkubwa kwa COSOTA katika kampeni dhidi ya kazi bandia(Feki).
Pamoja nao, shukrani ziuendee uongozi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe kwa kutoa wanafunzi ambao wanaendelea kutusaidia kwenye Kampeni hii, wasanii na wadau wote waliofanikisha zoezi hili, bila kusahau watumishi wa COSOTA ambao wamekuwa wanafanya kazi kwa moyo mmoja pamoja na vitisho wanavyopata kutoka kwa maharamia.











Brand logo

Monday, August 24, 2009

CEOS 33rd Newsletter published by JAxA


From our daily mail. Ms. Martha E. Maiden of NASA HQ, Chair of the CEOS WGISS attached the newest CEOS Newsletter to her mail today. The 33rd issue gives an overview on the GEOSS 2009 priorities and trends too. To read the Newsletter, please click on the header.

Next week in Budapest: National Workshop on the European Address Infrastructure EURADIN

On 2nd October 2009 the first EURADIN National Workshop will be hosted by FÖMI in Budapest. The latest news: The event will be participated by the Vice-President of the National Office of Research and Technology (NKTH) dr. Tivadar LippĂ©nyi too. For more information, please click on the header.
Downtown of Budapest. Images: HUNAGI Visuals Resource, 2009

State Audit Office and HUNAGI cooperation under preparation.


A contract to be signed has been prepared with the aim to provide consultancy and support for the State Audit Office of Hungary related to the use of GI in specific application.

MAJAMBAZI YALIYOVAMIA BENKI YA NMB MBAGALA YAKAMTWA NA SILAHA 2 NA MAGARI NANE NAYO YAKAMTWA

JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM KWA KUSHIRIKIANA NA MIKOA MINGINE YA TANZANIA. MPAKA SASA LIMEFANIKIWA KUKATAMA MAJAMBAZI 13 WALIOHUSIKA KATIKA TUKIO LA KUTUMIA SILAHA PAMOJA NA MABOMU KATIKA BENKI YA NMB TEMEKE. KATIKA MAJINA HAYO MTUHUMIWA MUSSA S/O ABDALLAH WAKATI WA HARAKATI ZA UKAMATAJI KATI YA JESHI LA POLISI NA MAJAMBAZI.


AIDHA JAMBAZI MUSSA ABDALLAH ALIKAMATWA NA BASTOLA AINA YA WALTER AMBAYO WALIITUMIA KUPAMBANA NA ASKARI POLISI KABLA AJAKAMATWA. MAJINA YAO NI KAMA UTAKAVYOYAONA HAPO CHINI (@) ITASIMAMA KAMA a .k. a
1. MUSSA S/O ABDALLAH, MPEMBA, 3OYRS, MKAZI WA YOMBO BUZA,OBADIA GABRIEL WAFARIKI KATIKA MAPAMBANO NA JESHI LA POLISI WAKATI WA UKAMATAJI.
2. ANTHONY S/O JEREMIA SOLIA @ HAMISI MATONYA, 3O YRS, MKAZI WA DODOMA.
3. OBADIA S/O GABRIEL JOHN MWAKIHOLA @ KABURU, 23YRS,
4. ISSACK S/O SWAI @ BUSHOKE @ FATAKI, 23YRS,, MKAZI WA MTAA WA DAR ES SALAAM MOSHI.
5. DEOGRATIAS S/O EMMANUEL MASAWE, 30 YRS, DEREVA, MCHAGA, MKAZI WA MTAA WA MBUYUNI MOSHI.
6. SALUM S/O YASINI SULE @ JIBABA, 28YRS,MKAZI WA DSM.
7. YUSUPH S/O RAJABU, 44YRS, MKAZI WA MBAGALA MWANAMTOTI.
8. BONIFACE S/O JOSEPH, 34YRS, MKAZI WA YOMBO DOVYA.
9. JAPO S/O SALIMU, 27YRS, MKAZI WA YOMBO DOVYA
10. SAIDI S/O HAMISI, 30YRS, DEREVA TAX TANDIKA, MKAZI WA TANDIKA
11. MT. 55935 SGT MATHEW, 42YRS, WA JWTZ MGULANI.MKAZI WA KIBAHA KWA MATHIAS.



PAMOJA NA KUKAMATWA KWA MAJAMBAZI HAYO PIA POLISI WAMEFANIKIWA KUKAMATA MAGARI MANANE (8) YALIYOKUWA YAKITUMIWA NA MAJAMBAZI HAO.

UCHUNGUZI WA AWALI UNAONYESHA KUWA MAGARI YAOTE 8) KABLA YA KUTUMIKA NA MAJAMABZI YALIPORWA JIJINI DAR ES SALAAM. MAGARI MATANO (5) AINA YA SALOON YAMEKAMATIWA DODOMA NA MAGARI MENGINE YAMEKAMATWA MOSHI. MAWILI KATI YA HAYO YAPO KITUONI HAPA POLISI KATI.

MAJINA YA WATUHUMIWA YATAKAYOTAJWA NI KUMI NA MOJA (11) . MTUHUMIWA WA KUMI NA MBILI (12) NA KUMI NA TATU (13) HAYAJATAJWA KWA SABABU ZA UPELELEZI PAMOJA NA KUSUBIRI KUTAMBULIWA KATIKA GWARIDE LA UTAMBULISHO.

AIDHA MTUHUMIWA WA KUMI NA MBILI (12) YUPO MKOANI ARUSHA NA NI JAMBAZI HATARI ALIYEKUWA AKITAFUTWA MUDA MREFU. A MTUHUMIWA ALIYE KIGOMA NDIYE ALIYEHUSIKA NA MABOMU YALIYOTUMIKA KATIKA TUKIO LA NMB JINA LAKE LIMEHIFADHIWA MPAKA HAPO UPELELEZI UTAKAPOKAMILIKA

KUNDI HILI LA MAJAMBAZI LIMEKUWA LIKIFANYA UHALIFU KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM, MWANZA, ARUSHA PAMOJA NA KIGOMA.
PAMOJA NA MAFANIKO HAYA, MSAKO BADO UNAENDELEA KUWATAFUTA WENGINE AMBAO WALISHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE. PIA JESHI LA POLISI LINATOA SHUKRANI KWA WANANCHI WOTE WALIYOSHIRIKIANA NA JESHI LA POLISI KUFANIKISHA, KUTOA TAARIFA ZA MAJAMBAZI.

S. H.KOVA – SACP
KAMANDA WA POLISI
KANDA MAALUM YA POLISI
DAR ES SALAAM

Saturday, August 22, 2009

Arsenal 4 - 1 Portsmouth

Arsenal continued their impressive start to the Premier League season with a resounding victory over Portsmouth.
Abou Diaby opened the scoring with a first-time finish from Eduardo's cut-back and doubled the lead when he tapped in Emmanuel Eboue's cross.
Younes Kaboul headed home to give Portsmouth hope but Arsenal responded when the ball rebounded off William Gallas' face and into the net.
Aaron Ramsey slotted home Robin van Persie's pass to seal the hosts' win.
The result sends Arsenal top of the league on goal difference and maintained their 100% start to the season in all competitions.
Portsmouth drop to the foot of the table and, despite engineering a number of clear-cut chances, look to be in desperate need of reinforcements.
With three defeats from their opening three games, the south coast club have now made their worst start to a Premier League season and they can only hope that the ongoing saga surrounding their ownership is resolved soon


Wigan 0 - 5 Man Utd


Michael Owen scored his first goal for Manchester United as they bounced back from their defeat at Burnley to thump Wigan with a flurry of late goals.
United had been frustrated until Wayne Rooney headed home Antonio Valencia's cross for his 100th goal for the club.
A neat move soon saw Dimitar Berbatov make it 2-0 and Rooney's shot deflected in off Mario Melchiot to add a third.
Owen came off the bench to score number four with a clipped finish and Nani's curling free-kick completed the rout.
For all three of his senior strikers to find the net will give United boss Sir Alex Ferguson much satisfaction in wake of the criticism that followed Wednesday's shock loss at Turf Moor.
But the final scoreline should not mask United's earlier deficiencies in front of goal as a better team than Wigan would have punished the champions for their failure to take their numerous first-half chances.
The first of those came after four minutes when Berbatov fed the overlapping Nani, who cut the ball back perfectly into Darren Fletcher's path but, with Chris Kirkland beaten, the Scot's first-time shot was brilliantly blocked on the line by Titus Bramble.
Paul Scholes then blasted over when well-placed on the edge of the area and Berbatov had a close-range header saved before the industrious Rooney saw one effort deflected wide and another fly straight at Kirkland after working space for the shot.
United, who had made seven changes from the side that were embarrassed by the Clarets, should have been out of sight but instead they almost fell behind, with only a superb stop by Foster keeping out a curler from Jason Koumas that was heading for the top corner.
And, although the visitors were back on top before the interval, the breakthrough continued to elude them.
It looked as though Rooney would surely score when he lost Bramble and latched on to a hoisted pass from Jonny Evans but his drilled shot was kept out by Kirkland's leg.
And Bramble redeemed himself for that error when he timed his tackle to perfection to scoop the ball away from Berbatov as the Bulgarian shaped to shoot. It was the Latics who came closest to scoring at the start of the second half, when Paul Scharner's deflected header flew inches wide
But United continued to attack with the greater intent and got their reward after 56 minutes when Valencia crossed from the right and Rooney beat Bramble to nod into the top corner.
And, after Foster made another impressive save to claw away Hugo Rodallega's looping header, the visitors scored two more goals in quick succession to take complete control of the match.
Berbatov raced on to Fletcher's flick to push the ball over the onrushing Kirkland and slot home the bouncing ball.
Then Rooney picked up the ball on the left-hand side of the area and fired in a low shot that deflected off Melchiot and span past the helpless Kirkland.
Wigan, understandably, were shell-shocked and never looked like finding a way back into the game.
United came forward looking to extend their lead and it was Owen who was next to find the target, meeting Nani's through-ball and lifting the ball over Kirkland with a vintage finish.
It was Owen's first competitive goal since 10 January and will give him the confidence boost he needs after a difficult start to his time at Old Trafford. Ferguson's side were not finished yet and Nani had the final word with a brilliant stoppage-time free-kick that he curled over the wall and into the bottom corner
Sunday, 23 August 2009
Burnley v Everton, 15:00
Fulham v Chelsea, 16:00
West Ham v Tottenham, 13:30
Monday, 24 August 2009
Liverpool v Aston Villa, 20:00

Home Team
Score
Away Team
Arsenal
4-1
Portsmouth

KOMBE LA DUNIA LINAKUJA NOVEMBER MWAKA HUU

Kombe la Dunia lina kuja kwa mara ya pili Nchini mara ya kwanza lilipokuja mwaka 2005 Mgeni rasmi alikuwa ni rais wa Jamhuri ya muungano wa tanzania Mh Dk Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete na ndipo alipotoa ofa ya kuletwa kwa kocha wa kigeni na kusema yeye atamlipa kocha, je Endapo atakuwa tena mgeni Rasmi Mh JK Je atatoa Ahadi Gani

Friday, August 21, 2009

Benedicto Mtungirehi alejeshwa Uanachama TLP

Katibu mkuu wa chama TLP Jonh j Komba akisoma barua ya kuludishwa uanachama Bw Benedicto Mtungirehi aliyeshika kalamu mwingine ni Rajab Hamad Tao ambye hayupo pichani katika makao makuu ya chama cha TLP Manzese Argentina
Chama Tanzania labour party kimemrejeshea uanachama Bw Benedict Mtungirehi baada ya kulizika kuwa amejirekebisha makosa yake ambayo aliyafanya. akitanabaisha makosa hayo Katibu mkuu wa chama hicho taifa bw John j Komba alisema kuwa kosa alilofanya Mtungirehi ni kutoa taarifa kwa msajili wa vyama vya siasa baada ya kutoa taarifa katika kikao cha chama hicho kwa mujibu wa katiba ya chama hicho ibara ya 18.9(e) kinasema kuwa matatizo ya ndani ya chama yatatuliwa ndani vikao vikuu vya Chama na sio nje ya Chama aidha kwa upande wake bw mtungirehi amesema kuwa ni wakati mzuri sasa kujenga upya chama na kuacha migogoro ambayo haina msingi na kuwa chama ndio chenye uwezo wa kumtoa au kumrudisha mwanachama uanachama wake.