Tuesday, March 30, 2010

KAYANZA PINDA MZENGO NDANI YA VIETNAM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua gwaride la heshima nchini vietnamWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea maua kutoka kwa mtoto wa Vietnam wakati alipopokelewa rasmi kwenye viwanja vya Ikulu ya Hanoi , Machi 29, 2010 kuanza ziara yake ya kikazi nchini Vietnam. Kulia ni mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Vietnam, Nguyen Tan Dung.

No comments:

Post a Comment