Sunday, July 11, 2010

Final approach



Wahenga husema asiyekuwa na mwana aleke jiwe leo ndio siku ambayo vuvuzela litapigwa sana kama sio Amsterdan basi lita Barceola ni fainali ya kombe la dunia ya kwanza kufanyika katika bara afrika asalaaam aleykhummm pwezaaaaaaaaaaaaaaa

No comments:

Post a Comment