Monday, September 20, 2010

POULSEN KANIPIGA MSASA



Leo nilikuwa na kocha mkuu wa timu ya taifa ya tanzania jan borge pooulsen alipokuwa akitupa msasa jinsi ya kuandika habari za mchezo katika jicho la kiufundi
zaidi actualy hivi ndivyo nilivyokula bata katika picha ya pamoja kafundisha mastaa wa denmark hata yule kiapa wa man u peter scheimecher kafundishwa na huyu.





Apa ni kocha mkuu wa timu ya taifa akitoa material kwa waandishi wa habari wansosndika michezo nchini hawapo pichani.



Hapa anatoa mchanganua wa jinsi timu inavyotakiwa kucheza kiwanjani muda wote kitu ambacho anasema huwa angalia timu pinzania inachezaje yeye uangalia ya kwake inachezaje angalia mastaa anangalia wachezaji anachagua wachezaji wanaofanya vizuri angalii vilabu kwani hana timu tanzania

No comments:

Post a Comment