Saturday, August 14, 2010

MWENYEKITI MPYA TASWA NI JUMA PINTO


Chama cha waandishi wa habari za michezo taswa kimefanya uchaguzi wa viongozi wapya baada ya uongozi wa zamani kumaliza muda wake wa miaka mitatu kama katiba inavyotaka .

Katika uchaguzi huo viongozi waliochaguliwa ni

MWENYEKITI

JUMA PINTO.

MAKAMU MWENYEKITI.

MAULID KITENGE.

KATIBU MKUU

AMIR MHANDO.

KATIBU MSAIDIZI

GEORGE JOHN

HAZINA.

SULTAN SIKIRO

MSAIDIZI

MOHAMED MKANGARA

KWA UPANDE WA WAJUMBE NI.

ELIUS KAMBIRI
GRACE HOKA
ZENA CHANDE
ALFRED LUCAS
OSMAN KAPINGA
SALUM JABA

No comments:

Post a Comment