Friday, October 29, 2010

TIMU YA TAIFA YA POOL KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA, PARIS UFARANSA


Meneja wa Bia ya Safari lager,Fimbo Buttalah (kati) akizungumza mbele ya vyombo vya habari katika mkutano uliofanyika leo,wakati wa kutangazwa kwa timu ya Taifa ya Pool itakayoshiriki mashindano ya Dunia huko nchini Ufaransa mapema mwezi ujao.Kushoto ni Mwenyekiti wa Pool Taifa,Isack Togocho na kulia ni Katibu mkuu Pool Taifa,Amos Kafwinga.

No comments:

Post a Comment