Friday, October 30, 2009

UFUNGUZI WA CHUO KIKUU HURIA DSM

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria, k. John Malecela (wapili kushoto) na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa, Tolly Mbwete (kushoto) katika mkutano wa wahitimu wa Chuo Kikuu Huria eneo la Biafra jijini Dar es salaam Oktoba 30, 2009. Kulia ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment