Monday, October 5, 2009

VODACOM PREMIER LEAGUE



Beki wa timu ya Azam Ibrahim Shikanda (kushoto) akichuana na mchezaji wa JKT Ruvu, Damasi Makwaya wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Timu hizo zilifungana bao 1-1.



Mchezaji wa simba musa hasan mgosi alipokuwa akimkaba mchezaji wa moro united katika mfululizo wa ligi kuu soka tanzania bara Vodacom





Simba 2 - 1 Moro United





Wafungaji



Danny Mrwanda dk 23 Yona Ndabila dk 57



Joseph Owini dk 84







Mtibwa 3 - 1 Tanzania Prison



Saidi Rasgudu Ramadhani Katabalala



Soud Abdallah



Hussein Jabu







Toto African 0 - 0 Majimaji







Kagera Suger 0 - 2 Yanga



Mrisho Ngasa dk 17







No comments:

Post a Comment