Monday, April 26, 2010

MUUNGANO JAMANI TUSIGAWANYIKE



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete akipungia mkono wananchi mbalimbali waliojitokeza kwenye maadhimisho ya miaka 46 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam ambapo wakazi mbalimbali walijitokeza katika sherehe hizo, kulia ni mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.
Picha kwa hisani ya Mwanablogu Father Kidevu.
kwa hisani
fuullswangwe.blogspot.com





Heshima toa






Ngoma ya kipemba heshima toa gru gri gruuee

No comments:

Post a Comment