Thursday, April 29, 2010

WETE MABINGWA MUUNGANO TANZAINBAR


Naibu Waziri Kiongozi na ambaye pia Waziri wa Utamaduni na Michezo, Ali Juma Shamhuna, akimkabidhi Kombe Nahodha wa Timu ya Wete, Ali Badru, baada ya fainali ya Kombe la Muungano linalodhaminiwa na Vodacom Tanzania, katika mchezo huo, Wete ilishinda 3-0 na kutwaa kombe hilo.

No comments:

Post a Comment