
Tenga amesema amesema anaishukuru TILOC na kamati iliyoundwa na rais inayoongozwa na Mwenyekiti Dr. Shukuru Kawambwa ambaye ni Waziri wa Miundombinu Shukuru kawambwa wamefanya kazi nzuri mpaka kufanikisha ujio wa timu hiyo bora duniani.
Brazil tayari imeshatua arfajiri ya leo nchini Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya kombe la dunia ambapo itakuwa na michezo miwili ya kuijipima nguvu katika yake Zimbabwe na kisha na Tifa Stars ambapo itawasili na watu sitini kati ya hao 25 wakiwa ni wachezaji

kwa hisani ya fullshangwe.blogspot.com
No comments:
Post a Comment