Friday, August 28, 2009

HIVI NDIVYO ALIVYOUMIA EDUARDO DA SILVA

Mpenzi msomaji hakika uliwahi kusikia taarifa ya kuumia kwa mshambuliaji wa arsena raia wa crotia mzaliwa brazil ambayea liumia baada ya kufanyiwa na mchezaji wa birgmingham Taylor
Angalia mguu wa kushoto kwenye picha hiyohapo juuu waweza kuhisi maumivu aliyoyapata mchezaji mchezaji huyo anataka kushitakiwa kisa wanasema kajiangusha nadhani wamesahau penalty ya Ryan babel alivyo fanya dhidi ya arsenal kwenye klabu bingwa barani ulaya

No comments:

Post a Comment